Alhamisi, 13 Julai 2017

Mchezaji anayekusudiwa na Sunderland hakujumuisha kwenye timu ya Everton

Mchezaji wa mpira wa Everton Aiden McGeady hajaweza kuja pamoja na timu yake nchini Tanzania. Hii huenda ni kutokana na makusudio ya timu ya Sunderland kumchukua. Mezaji huyo mwenye asiri ya Ireland hajaonekana kuwepo kwenye timu ya Everton iliyowasili nchini Tanzania

 Aiden McGeady alizaliwa 4 April 1986 na kwa sasa akiwa na umri wa miaka 31. Huku akiwa na urefu wa futi 5 na inchi 11, huenda kajiunga na timu ya Sunderland.
Maelezo hayo yamelipotiwa na mtandao wa "http://www.sunderlandecho.com" yameonesha kwamba japo kuwa malipo bado lakini mchezaji hajaonekana kwenye safari hiyo.

 Aiden McGeady akiimba wimbo wa taifa wa nchi yake mwaka 2013


Soma zaidi hapa: http://www.sunderlandecho.com/sport/football/sunderland-afc/sunderland-target-not-included-in-everton-squad-for-tanzania-trip-1-8644584

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni