Ijumaa, 14 Julai 2017

BoT: TANGAZO LA UDHAMINI WA ELIMU YA JUU KWA MWAKA 2017/18

Mfuko wa Udhamini wa Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere unaosimamiwa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), unatangaza kutoa nafasi za udhamini (scholarships) kwa masomo ya elimu ya juu kwa mwaka 2017/18. Ufadhili huu, unalenga kuongeza hamasa na ufaulu kwa wanafunzi wa kike hapa nchini katika masomo ya Hisabati na Sayansi. Unajumuisha gharama zote za ada, pesa za kujikimu, mafunzo ya vitendo na vifaa vya kujifunzia ikiwemo kompyuta mpakato (Laptop).
Chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere


Pakua hapa form ya Tangazo hilo kutoka BoT
Tangazo la Udhamini

Pakua maelezo mengine hapa kutoka mtandao wa BoT:-
Maelezo ya Jumla

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni